Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (wa tatu kutoka kushoto), akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kiwanda cha Omega Fish Market, Hamad Alsalman, wakati wa ukaguzi wa masuala ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi, uliofanyika tarehe 5 Januari 2026, Jijini Mwanza.