WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, Oktoba 11, 2025 amepokea kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tuzo ya kutambua mchango wake katika kusimamia Ustawi wa Jamii ya Watu wenye Ulemavu nchini, kwenye hafla iliyofanyika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Oysterbay Jijini Dar es Salaam, wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi,Vijana, Ajira na WenyeUlemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete.