Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu baada ya kuzungumza nao, ofisini kwake , Mlimwa Jijini Dodoma, Januari 10, 2022. Kutoka kushoto, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Dkt. John Jingu, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Ummy Nderiananga, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Dkt. Pindi Chana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi na kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Jamal Katundu.