Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makundi mbalimbali ya watu wenye Ulemavu, Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu (SWAUTA), Shirikisho la Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) na Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu SHIVYAWATA, katika viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 16 Machi, 2022.