Jaji wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Dkt. Yose Joseph Mlyambina (kushoto) Kamishna wa Kazi, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Bi. Suzan Mkangwa (kulia) na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda (katikati) wakiwa katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupinga Utumikishwaji wa Mtoto yaliyofanyika katika Ukumbi wa Tempus, Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, tarehe 9 Juni, 2026, Geneva, Uswizi.