Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi machapisho Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii Mhe. Fatma Toufiq, baada ya kuhitimisha Semina kuhusu Mfumo wa PSSSF Kiganjani, leo Februari 12, 2025 Bungeni Jijini Dodoma.