Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bi. Mary Maganga, akipokea Nyaraka za Makabidhiano za kuongoza Kamati ya Ushauri wa Kitaalamu kuhusu Uhamaji Salama wa Nguvu Kazi kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika kutoka kwa Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Jinsia, Kazi na Maendeleo ya Jamii ya Uganda, Kamishna wa Huduma za Ajira, Dkt. Lawrence Egulu, wakati wa mkutano uliyofanyika tarehe 18 Agosti 2026, Jijini Dodoma.