Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi tuzo ya shukrani Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, wakati wa sherehe za Mei Mosi zilizofanyika katika viwanja vya Halmashauri ya Mji wa Njombe, eneo la Lunyanywi, Mei 1, 2026, Mkoani Njombe.