Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Makuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (Wakwanza kushoto) akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum (Wapili kushoto), Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Bi. Joyce Mapunjo (Wapili kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Fortunatus Magambo (wa kwanza kulia) wakimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10, Katibu wa Chama cha Wasioona Zanzibar (ZANABA), Bw. Mohamed Mbarouk, wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na PSSSF kwa makundi mbalimbali huko Zanzibar Machi 17, 2026.