Welcome to the Official website of the Prime Minister’s Office – Labour, Employment and Relations. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akigawa Kadi ya Uanachama kwa mmoja wa wanufaika wa Mpango wa Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri. Machi 6, 2026 Jijini Mwanza.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga Mkoani Rukwa, leo Machi 8, 2026 kuanza ziara ya kikazi mkoani humo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akipata maelezo kutoka kwa mnufaika wa programu ya Awamu ya Nane ya Mafunzo ya Stadi za Kazi kwa Njia ya Uanagenzi alipowasili katika Chuo cha Ufundi Stadi Don Bosco Dodoma, Machi 3, 2026 kuzindua mafunzo ya ya uanagenzi kwa mwaka 2025/2026.
Washiriki wa Uzinduzi wa Programu ya Nchi ya Kazi za Staha na Mkakati wa Kukuza Kazi za Staha kwa Wafanyakazi wa Nyumbani wakimsikiliza waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu (hayupo pichai) wakati waziri huyo akitoa hotuba ya uzinduzi huo Februari 13, 2026 katika ukumbi wa Hotel ya Best Western, Jijini Dodoma.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akimkabidhi Mwenyekiti wa Kikundi cha wachimbaji wanawake Bukombe (WAWABU) Regina Kabogo Vifaa Kinga vya Huduma ya Kwanza ili kuwawezesha kutoa msaada wa awali endapo ajali itatokea kabla ya majeruhi kufikishwa hospitalini.
Mkurugenzi Msaidizi wa Ajira na Ukuzaji Ujuzi toka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira na Mahusiano Godwin Mpelumbe akitoa mafunzo ya Mfumo wa Taifa wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira kwa Waajiri kutoka Sekta binafsi yanaendelea 25 Februari 2026.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu (wa tatu kutoka kushoto) akiwa pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe. Joel Nanauka (kushoto kwake) wakizundua pikipiki zinazotumia umeme wakati wa Programu ya Mafunzo ya Madereva Pikipiki na Bajaji yaliyofanyika katika Chuo cha VETA, Ilemela Mwanza 20 Februari 2026.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akizungumza wakati wa Kikao Kazi na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi, Waajiri na Shirikisho kilichofanyika jengo la PSSSF, Februari 17, 2026 , jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akizungumza wakati wa Kikao Kazi na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi, Waajiri na Shirikisho kilichofanyika jengo la PSSSF, Februari 17, 2026 , jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu (kushoto) akimkabidhi Kitabu cha Programu ya Nchi ya Kazi za Staha Kamishina wa Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Bi. Susan Mkangwa wakati hafla ya uzinduzi wa Programu ya Nchi ya Kazi za Staha na Mkakati wa Kukuza Kazi za Staha kwa Wafanyakazi wa Nyumbani iliyofanyika Februari 13, 2026, Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akiwa pamoja na Viongozi mbalimbali wakiwa wameshika Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 mara baada ya kuizindua rasmi, tarehe 9 Februari, 2026 katika Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Kinga ya Jamii uliofanyika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), Jijini Arusha.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akikagua shamba la miwa la Kiwanda cha Sukari Mkulazi, Januari 23, 2026 Mkoani Morogoro.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Januari 15, 2026 amezungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akizungumza na Mufti Mkuu wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally wakati wa ziara yake ya kikazi Ofisi za Makao Makuu ya BAKWATA, Januari 03, 2025 jijini Dar es Salaam.
Labour Division is a division under the Prime Minister's Office Labour, Youth, Employment and Persons with Disability, responsible to facilitate conducive working environment for both employers and employees in labour and social security matters and timely issuance of Work Permit services in the Country. Adherence to employment and labour standards leads harmonious labour relations; improved labour productivity and consequently fasten socio-economic development. This objective intended to strengthen implementation of ILO Minimum Labour Standards.
Employment and Skills DevelopmentDivision is a division under the Prime Minister's Office Labour, Youth, Employment and Persons with Disability, responsible to provide expertise and services in management of employment promotion and services; skills development and labour market information. Adherence to employment and labour standards leads harmonious labour relations; improved labour productivity and consequently fasten socio-economic development. This objective intended to strengthen implementation of ILO Minimum Labour Standards.