Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (wa tano kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Yose Joseph Mlyambina, Naibu Katibu Mkuu - Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Zuhura Yunus na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi hiyo na viongozi wengine mara baada ya Mkutano wa 114 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) unaoendelea Jijini Geneva, Uswisi leo Juni 4, 2026.