News
Waziri Sangu akagua Maendeleo ya Ujenzi Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Ofisi za Wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali, Mtumba Mkoani Dodoma leo Mei 13,2026.
Aidha, Katika ukaguzi huo Waziri Sangu aliambatana na Naibu Waziri wa Ofisi hiyo Mhe. Dkt.Evaline Munisi pamoja na Viongozi wa Wizara hiyo.


.jpeg)
